Surprise Me!

ALICHOKISEMA MSUKUMA BAADA YA MALI ZAKE KUTANGAZWA KUPIGWA MNADA

2018-09-08 1 Dailymotion

Siku moja baada ya Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kutoa taarifa ya kupiga mnada mali za mbunge wa Geita Vijijini Joseph Msukuma baada ya kushindwa kulipa deni analodaiwa, mbunge huyo amekanusha taarifa hiyo na kudai kuwa hadaiwi..