Surprise Me!

Ukosefu Wa Chanjo Ya Covid-19 Umeongeza Vifo Afrika

2021-07-19 2 Dailymotion

Shirika La Afya Duniani Limethibitisha Kuongezeka Kwa Vifo Barani Afrika Kunatokana Na Kukosekana Kwa Chanjo. Shirika Hilo Limeeleza Kuwa Chini Ya Asilimia 3 Ya Wananchi Wake Ndio Wamepatiwa Chanjo Ya Covid-19 Kufikia Sasa